Wednesday, January 02, 2013

Take It or Leave It


R.I.P SAJUKI


Ningumu sana kwangu kuamini na si kwangu tu naamini kwa watanzania wote kama kweli SAJUKI hatunae tena duniani.
01st Jan, 2013 tumeangalia kipindi cha Mkasi akihojiwa na mtangazaji Salama.
Omg leo asubuhi ametutoka!!!…..haaaa kweli binadamu hapa duniani ni wapita njia na hatujui siku, saa wala terehe yeye ametutangulia nasi wote njia yetu ni moja.
Pole Wastara, poleni wana familia wote, poleni wasanii wote na poleni watanzania wote.
 
R.I.P SAJUKI
Innalillahi Waina Illahi Rajiun

 
 

Saturday, December 29, 2012

Happy New Year

The upcoming new year is a perfect time to forget sorrows and remember
good things in life. And also its time to welcome the fresh new year with fresh hope,
fresh expectations, forget the past just think about ahead.
 
Happy New Year to all of you

Monday, November 12, 2012

Our Graduation Ceremony

Our graduation ceremony at university of dar es salaam computing centre. Oooh thanks ALLAH (GOD) at the end I made it.
Me & Mom
 
Family
Thnkx my family for giving me a big support at all the time you means a lot to me. I love you all guyz.

Yussura, Me & Mom


Mrs Sarah, Mom & Yussura

Friends
You guyz ata sijui nisemeje nyinyi bana tumekua pamoja katika shida na raha katika heka heka za mitihani na matokeo, jamani kukimbizana huku na kule, kuibiana materials yani ni full heka heka na mishe mishe ata sijui niseme nini, but all in all zilikua ni changamoto za kimaisha katika kusongesha gurudumu la elimu mbele.
 
You means a lot to me na mmeniachia memory kubwa sana ambayo haiwezi futika leo wa kesho. Sina la kuwapa wala la kusema zaidi ya ASANTE
John, Ben, Amyna & Omary

John, Ben & Omary

Me & Dada Teddy
 
Me & Ben

Kupitia AMYNAG BLOGSPOT napenda kuwashukuru walimu wangu, wanafunzi wenzangu, family yangu na watu wote walio nisaidia kwa namna moja ama nyingine kuweza kufanikisha masomo yangu.
Nawashukuru sana yani zaidi ya sana. Mungu awalinde na awapiganie.
 
Love you all….Big kiss & hug