Monday, November 12, 2012

Our Graduation Ceremony

Our graduation ceremony at university of dar es salaam computing centre. Oooh thanks ALLAH (GOD) at the end I made it.
Me & Mom
 
Family
Thnkx my family for giving me a big support at all the time you means a lot to me. I love you all guyz.

Yussura, Me & Mom


Mrs Sarah, Mom & Yussura

Friends
You guyz ata sijui nisemeje nyinyi bana tumekua pamoja katika shida na raha katika heka heka za mitihani na matokeo, jamani kukimbizana huku na kule, kuibiana materials yani ni full heka heka na mishe mishe ata sijui niseme nini, but all in all zilikua ni changamoto za kimaisha katika kusongesha gurudumu la elimu mbele.
 
You means a lot to me na mmeniachia memory kubwa sana ambayo haiwezi futika leo wa kesho. Sina la kuwapa wala la kusema zaidi ya ASANTE
John, Ben, Amyna & Omary

John, Ben & Omary

Me & Dada Teddy
 
Me & Ben

Kupitia AMYNAG BLOGSPOT napenda kuwashukuru walimu wangu, wanafunzi wenzangu, family yangu na watu wote walio nisaidia kwa namna moja ama nyingine kuweza kufanikisha masomo yangu.
Nawashukuru sana yani zaidi ya sana. Mungu awalinde na awapiganie.
 
Love you all….Big kiss & hug