Saturday, February 22, 2014

Matokeo ya Mtihani wa Taifa kidato cha nne - 2013



Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), limetangaza Matokeo ya Mtihani wa Taifa wa kidato cha nne wa 2013, huku ufaulu ukiongezeka kwa 15.17%. 
Matokeo hayo ni ya kwanza tangu kuanza kutumika kwa mfumo mpya wa upangaji ambao ulipanua wigo wa alama na madaraja, hivyo kutoa nafasi kubwa zaidi kwa watahiniwa kufaulu. 
Licha ya kuanza kutumika kwa mfumo huo mpya, idadi ya waliofeli imeendelea kuwa kubwa kwani watahiniwa 151,187 sawa na 42.91% wamepata sifuri. Kati ya hao, wavulana ni 78,950 sawa na 41.54% na wasichana ni 72,237 sawa na 44.51%.  
 Fungua hiyo link kunionea http://41.188.155.122/CSEE2013/olevel.htm



No comments:

Post a Comment