Friday, July 06, 2012

Ijumaa Kareem

Assalaam aleykum,

Nawatakia Ijumaa njema wote, namuomba Allah (S.W) atukubalie swala na dua zetu na atusamehe madhambi yetu makubwa na madogo. Mbele ya Allah (S.W) hakuna mkamilifu.

Nawapenda wote.

1 comment: