Wednesday, February 15, 2012
Wednesday, February 08, 2012
Matokeo Kidato cha nne 2011
Wapendwa wadau wa love2know-amynag. Matokeo ya kidoto cha nne ndio hayo yametoka. Kama mtoto wako, mdogo wako, ndugu yako, rafiki yako, jirani yako amemaliza kidato cha nne mwaka jana. Fungua hii link kuona matokeo zaidi http://196.44.162.14/necta2011/olevel.htm
Kama mtoto wako amefail tafadhali usimvunje moyo ama kumsema sana mpaka akajiona mkosaji ndani ya dunia hii, mtie moyo, mshauri na ata ikiwezekana aweze kuludia tena mtihani.
Pongezi kwa wote walio fanya vizuri. Kwa wale walio fanya vibaya tafadhali msifunjike mioyo bado mna nafasi ya kufanya vizuri zaidi.
Nawapenda sana
Kama mtoto wako amefail tafadhali usimvunje moyo ama kumsema sana mpaka akajiona mkosaji ndani ya dunia hii, mtie moyo, mshauri na ata ikiwezekana aweze kuludia tena mtihani.
Pongezi kwa wote walio fanya vizuri. Kwa wale walio fanya vibaya tafadhali msifunjike mioyo bado mna nafasi ya kufanya vizuri zaidi.
Nawapenda sana
Wednesday, January 18, 2012
EXAMINATION RESULTS (UCC)
To all my fellow student at University of Dar es Salaam Computing Centre (UCC) Examination results and Timetable for supplementary & special exams.
Hongereni wote mliofaulu, pia pole kwa wale wote walio pata sup na walio disco poleni sana
Click this link kuona matokeo http://www.ucc.co.tz/news_events/view_news_item.php?id=81&intVariationID=1&szTitle=Current
Tumshukuruni Mungu sana zaidi ya sana, Nawashukuru wote kwa sala zenu na maombi yenu. At the end nimemaliza chuo two year ilikua mingi sana, but am thnks god nimemaliza salama salimini, Naishukuru sana family yangu Mama Gama, Mrs Salar, Mrs Nassib, my big sister Mama shalwa Mende na members wote wa Gama Family kwa support yenu kwangu ya hali ya juu, napenda sema sina cha kuwalipa but inshallah dua njema nawaombea.
Wana UCC WD2 & WD1 nyinyi watu ata sijui nisemeje sababu tumekua kama watoto wa familia moja kusoma pamoja kubadilishana madalasa kushare materials na resources za UCC pamoja yani sijui nni niseme juu yenu, ila nawashukuruni sana. Wana Bwalo hahahahaa hapa sasa ndio patamu nyinyi watu siwezi wasahau Mzee Mahundi, Neema (Mama G), Mr Isaack, Mr Magambo Jeremiah, Kelvin Keldom, Calvin Mziray, Loveness, Modester, Ben (Kilimo), Chris Akim......u guyz nawafil sana.
Thanks all jamani kwa support yenu kwangu ya hali ya juu sina cha kuwalipa ila mungu atawalipa.
Nawapenda sana.
Friday, December 30, 2011
Changes
Mamboz wapendwa wangu!! Jamani mmejipangaje na mwaka mpya 2012?
Hope each and every things kipo sawa. Am I right?
Here are some changes I made in my blog. Tell me how does it look like.
Love you all also I wish all of you a happy new year with full of success and blessings.
Thnx much guys.
Subscribe to:
Posts (Atom)
