Tuesday, October 27, 2015

Uchaguzi Mkuu Tanzania Oktoba 25, 2015.

Uchaguzi Mkuu Tanzania Oktoba 25, 2015.
 
Namuomba sana Mungu wangu (Allah) Uchaguzi upite salama bila ya machafuko ya aina yoyote na wagombea wote napenda wakumbuke kua Siasa sio ajila na cheo ni dhamana, sasa haya mambo ya kuto kukubali matokeo kama upemeshidwa ndio nini?? ama tukueleweje?? Kuna msema wa wahenga walisema “asie kubali kushindwa sio mshindani”.
 
Yote kwa yote watanzania wenzangu tusikubali kushawishika kuvuruga amani yetu maana amani ikipotea ni ngumu sana kurudi tena, embu tuone Inchi za wenzetu watu wanavyoangaika, mauwaji ya kila uchao, watu hawali wakashiba, hawafanyi maendeleo ya aina yoyote kutwa kucha ni kukimbia tu. Jamani tulindeni amani yetu kwani ni hadhina kubwa sana sana.
 
Binafsi mimi sipo upande wa chama chochote na nimechagua Raisi, Mbunge na Diwani kutokana na sera zao, utendaji kazi wao n.k sijachangua kwa kufuata mkumbo wa mtu.
 
Watanzania tuache tabia ya kujitolea matokeo wenyewe maana kila mtu anatoa matokeo yake utazani yeye ndio msemaji wa tume matokeo yake watu wanakinzana huko mitaani na mitandaoni, tushaambiwa tutulie tume inafanya kazi yake na tume ndio chombo pekee kinakachotoa matokeo ya walio pita kwenye uchaguzi.
 
Mungu(Allah) wabariki washindi wote ambao mpaka sasa wameshatangwazwa na tume na wanaoendelea kutangazwa na tume, Ya Allah uwajaze busara, imani, upendo miyooni mwao waweze kulitumikia Taifa hili kwa mioyo yao yote bila ya kufanya matendo ya kifisadi, watimize ahadi zao walito zisema kwa wanainchi wao, washirikiane na wanainchi katika kuleta maendeleo ya maeneo yao na Taifa kwa ujumla, Ukawajaze busara na uwape muongozo ulio tukuka katika kufanya maamuzi yoyote yanayo usu masaili ya Taifa hili...wote tusema Ameeeen.
 
Tudumisheni Amani, Upendo na Mshikamano.
Naipenda Tanzania yangu, Nawapenda Watanzania wenzangu wote.
Mungu ibariki Tanzania na Mungu tubariki Watanzania wote.

Wednesday, September 02, 2015

TUJIFUNZE JINSI YA KUJIOKOA IKITOKEA DHARURA YA MOTO NDANI

Image result for moto unaowaka

ASANTE SANA MDAU ULIYESHEA...MUHIMU KUSOMA HII WADAU..
 
Ikiwa siku ya chache baada ya tukio la kusikitisha la kuteketea moto kwa watu 9 wa familia pale Buguruni, D'Salaam, vifuatavyo ni vitu vya kujifunza (few tips to learn) inapotokea dharura ya moto ndani ya nyumba:
 
1.     Kitu cha muhimu ni kutoka nje salama haraka iwezekanavyo (as soon as possible).
 
2.     Hakikisha (ensure) kila siku mlango wa dharura (emergency exit) ya nyumba ni umekaa kwa urahisi iwezekanvyo (as simple as possible). Kila mtu ajue funguo za milango ya kutokea zinapowekwa, sio zinafichwa balaa. Have an ermegence exit whenever possible.
 
3.     Fahamu kwamba ktk matukio mengi ya moto (in most cases) kinachoua ni moshi kabla ya moto, hivyo ukiona dalili ya moshi hakikisha unakuwa na kitambaa kibichi cha kujifunika puani na mdomoni, na kama moshi umeanza kuingia ulipo tambaa chini (crawl down) sababu hewa ya uhai (oxygen) ina uzito (density) kubwa kuliko hewa ya kifo (carbon monoxide) hivyo inakuwa imekandamizwa chini sentimita chache kutoka kwenye sakafu (few centimeters from the floor). Hivyo tembea kwa kutambaa.
 
4.     Hakikisha unawajulisha watu wote (Ensure you alert everybody) kama wamelala ili waweze kutoka nje haraka.
 
5.      Achana na fikra ya kuokoa vitu, ktk hatua hii cha muhimu ni kuokoa uhai kwanza.
 
6.      Kumbuka, muda ni kitu cha msingi, fanya haraka iwezekanavyo (quick as possible) katika kujiokoa na kuokoa wengine.
 
7.     Ni muhimu nyumba zetu kuziwekea kiashiria moshi (smoke detectors) na pia kizima moto (fire extinguishers). Kugundua haraka (early detection) ya moto ni muhimu sana ili kuweza kuudhibiti kirahisi. Smoke detector ni mashine ya elektroniki ambayo inagundua moshi ktk hatua ya mwanzo kabisa na itapiga kelele (alarm) kwa sauti ya juu, itakusaidia kuamka hata kama upo usingizini na kuweza kujiokoa na kuokoa wengine na kuuzima moto kabla hujashika kasi.
 
 
Shukrani na sambaza ujumbe huu kwa wengine

Wednesday, June 17, 2015

Hijab Inspiration



Why Hijab?
Because ALLAH (GOD) created women right in the shades of JANNAH from the ribs of 
ADAM. Peace be upon Him and our Prophet (S.A.W).

Hijab is beautiful so make it look beautiful. 
Wear it with Love, with Pride and most of it wear it right.

Ramadan Kareem 

Prepare yourself for Ramadan 2015



As Muslims, we are forever and a day thrilled when Ramadan is getting close. We start to spend more time with our family, enjoy the festive impression and take a better look at our souls. For sure, we all prepared mentally and emotionally for Ramadan.

May the festival of lights be the harbinger of joy and prosperity. As the holy occasion of
Ramadan is here and the atmosphere is filled with the spirit of mirth and love,
here is hoping this festival of beauty brings your way, bright sparkles of contentment,
that stay with you through the days ahead.

Wish all of you very Happy Ramadan